Wakiwa wamemaliza leo mechi zao za mwisho za kirafiki Chelsea na Man Utd wamemaliza kwa ushindi mzuri katika maandalizi yao ya ligi kuu ya EPL Diego Costa akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuipatia timu yake ya chelsea goli
LVG akiingia uwanjani kabla ya pambano lao na Valencia
Cesc Fabregas
Diego Costa alipumzishwa na nafasi yake kuchukuliwa na Torres
Maroune Ferrain aliweza kuisaidia timu yake ya Man Utd kupata ushindi wa 2-1 baada ya kufunga goli katka mda wa nyongeza
Fellain akifunga goli lake la kwanza Man Utd
Diego Costa akishangilia ushindi wa 2-1 dhid ya Real Sociedad
CHELSEA 2-REAL SOCIEDAD 0, MAN UTD 2 - VALENCIA 1 MECHI ZA MWISHO ZA KIRAFIKI
Info Post