Breaking News
Loading...
Saturday, 7 April 2018

Info Post



Yanga Sc ya jijini Dar es Salaam imeifunga Magoli 2-0 klabu ya Welayta Dicha ya Ethiopia  katika kombe la shirikisho Afrika.

Magoli ya Yanga yamefungwa na Rafael Daudi  dakika ya kwanza ya mchezo na msumari wa mwisho wa kuwateketeza Dicha ukiwekwa Nyavuni  na Emmanuel Martin  Dakika ya 54.

Dicha itawabidi washinde magoli 3+ katika mchezo wa marudiano  ili waweze kusonga mbele  katika mashindano hayo.