Breaking News
Loading...
Sunday, 7 September 2014

Info Post
BAADA ya asubuhi maveterani mbalimbali waliowahi kutamba katika medani ya soka nchini kutoana jasho, jioni hii burudani imehamia katika Hotel kubwa yenye hadhi ya aina yake LEKAM ROYAL HOTEL iliyopo maeneo ya Buguruni Rozana.\
zifuatazo ni picha mbalimbali za wakongwe wakiburudika katika Bonanza hilo
           NI BURUDANI YA AINA YAKE NDANI YA LEKAM ROYAL PUB BUGURUNI