Breaking News
Loading...
Sunday, 28 September 2014

Info Post

TAKWIMU MUHIMU   YANGA Vs PRISONS

●  MASHUTI YALIYOLENGA GOLI
.. Yanga walipiga mashuti 6 golini wakati Prisons wao wakipiga mashuti manne golini.

● MASHUTI YALIYOTOKA NJE YA GOLI
.. Yanga na Prisons kila timu ilitumia nafasi walizopata huku kila timu ikipiga mashuti manne yaliyotoka nje ya lango.

● KONA
.. Yanga walipata kona 9 wakati Prisons wao walipata kona 4.

● FAULO
.. Prisons ilionekana kufanya faulo nyingi kwani mpaka mchezo unamalizika walikua wamefanya faulo 15 wakati Yanga walifanya faulo 12.

● UMILIKI WA MPIRA
..Kwa ufupi mpira ulikua umebalance licha ya Prisons kuwa pungufu lakini takwimu zinaelekeza kuwa Yanga walimiliki mpira kwa 51% wakati Prisons wao walikua na 49%.