Breaking News
Loading...
Saturday, 21 April 2018

Info Post

Adam Salamba na Laudit Mavugo magoli yao yametosha kuipa pointi moja kwa kila timu Kwenye mtanange wa Lipuli dhidi ya Simba SC na mechi hiyo kuisha sare ya1-1 Kwa matokeo hayo Simba SC sasa wanafikisha pointi 59, kumi na mbili zaidi ya mabingwa watetezi Yanga SC ( Pointi  47 ) huku Simba wakiwa wamecheza michezo 3 zaidi ya Yanga.
Lipuli ( Pointi 32, nafasi ya 7 ) wanazidi kujiweka mahala salama kabisa katika msimamo na kupunguza wasiwasi wa kurejea ligi daraja la kwanza msimu ujao na hatimaye kujikita katika ligi kuu ya Tanzania Bara.