Wapenzi wa soka duniani leo wanasubiri kwa hamu kubwa pambano litakalowakutanisha magwiji wa soka barani Ulaya kati ya Man Utd vs Real Madrid ambapo kwa saa za Afrika mashariki unategemea kuanza saa 5.00 usiku
Kikosi cha Manchester Utd kitakachopambana na Real Madrid
Kikosi cha Real Madrid
James Rodregueze ambaye amesaini Real Madrid msimu huu.
LVG atakuja na kitu gani kipya leo
Carlo Ancellot ataendeleza ubabe
MAN UTD vs REAL MADRID WATU 109,000 KUINGIA UWANJANI
Info Post