Breaking News
Loading...
Thursday, 26 April 2018

Info Post


*JUNI 7, 1965*

Yanga 1- 0  Sunderland (Simba)

MFUNGAJI: Mawazo Shomvi dk. 15).

*JUNI 3, 1966*

Yanga 3 - 2 Sunderland (Simba)

WAFUNGAJI:
Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54, 
Andrew Tematema dk 67,
Emmanuel Makaidi dk. 83.

 Sunderland (Simba): Mustafa Choteka dk 24,
 Haji Lesso dk. 86.

*NOVEMBA 26, 1966*

Sunderland 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.

*MACHI 30, 1968*

Yanga 1 - 0 Sunderland (Simba)

MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.

*JUNI 1, 1968*

Yanga 5 - 0 Sunderland

WAFUNGAJI:
Maulid Dilunga dk. 18 (penalti),
 Dilunga dk. 43, 
Salehe Zimbwe dk. 54,
 Zimbwe dk. 89, 
Kitwana Manara dk. 86.

*MACHI 3, 1969*

Yanga v Sunderland (simba)

(Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).

*JUNI 4, 1972*

Yanga 1 - 1 Sunderland (simba)

WAFUNGAJI:
Yanga: Kitwana Manara dk. 19,

Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.

*JUNI 18, 1972*

Yanga 1 - 1 Simba

MFUNGAJI: Leonard Chitete.
(Mwingine naomba mnikumbushe)


*JUNI 23, 1973*

Simba 1 - 0Yanga

MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.

*AGOSTI 10, 1974*

Yanga 2 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Gibson Sembuli dk. 87,
Sunday Manara dk. 97.

Simba: Adam Sabu dk. 16.

(Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).

*JULAI 19, 1977*

Simba 6 - 0  Yanga

WAFUNGAJI:
Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, 
Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, 
*Selemani Sanga* alijifunga dk. 20.

*OKTOBA 7, 1979*

Simba 3 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Nico Njohole dk. 3,
 Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38,
 Abbas Dilunga dk.72. 
Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.

*OKTOBA 4, 1980*

Simba 3 - 0  Yanga

WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29,
 Thuwein Ally dk. 82, 
Nico Njohole dk. 83.

*SEPTEMBA 5, 1981*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42

*APRILI 29, 1982*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.

*SEPTEMBA 18, 1982*

Yanga 3 - 0 Simba

WAFUNGAJI:
Omar Hussein dk. 2 na 85,
 Makumbi Juma dk. 62.

*FEBRUARI 10, 1983*

Yanga 0 - 0 Simba.

*APRILI 16, 1983*

Yanga 3 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Charles Mkwasa dk21,
 Makumbi Juma dk38,
 Omar Hussein dk84,

Simba; Kihwelo Mussa dk14.

*SEPTEMBA 10, 1983*

Yanga 2 - 0 Simba

WAFUNGAJI: *Lila Shomari* alijifunga dk. 72, 
Ahmed Amasha dk. 89.

*SEPTEMBA 25, 1983*

Yanga 1 - 1  Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Makumbi Juma dk. 75,

Simba: Sunday Juma dk. 72.

*MACHI 10, 1984*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Omar Hussein dk. 72.

Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.

*JULAI 14, 1984*

Yanga 1 - 1  Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Abeid Mziba dk. 39.

Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17

*MEI 19, 1985*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Omar Hussein dk. 6

Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.

*AGOSTI 10, 1985*

Yanga v Simba

(Simba waligomea mechi Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam, Yanga ikapewa ushindi wa mabao 2-0)

*MACHI 15, 1986*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Abeid Mziba dk. 44

Simba: John Hassan Douglas dk. 20.

*AGOSTI 23, 1986*

Simba 2 - 2 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Edward Chumila dk. 9,
 Malota Soma dk. 51

Yanga: Omar Hussein dk. 5.
(Mmoja nimemsahau mnikumbushe)

*JUNI 27, 1987*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.

*AGOSTI 15, 1987*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.

*APRILI 30, 1988*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Justin Mtekere dk. 28

Simba: Edward Chumila dk. 25.

*JULAI 23, 1988*

Simba 2 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Edward Chumila 21,
 John Makelele dk. 58

Yanga: Issa Athumani dk. 36.

*JANUARI 28, 1989*

Yanga 2 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Issa Athumani dk. 4,
 Abeid Mziba dk. 85

Simba: Malota Soma dk. 30.

*MEI 21, 1989*

Yanga 0 - 0 Simba

*MEI 26, 1990*

Simba 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.

*OKTOBA 20, 1990*

Yanga 3 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Makumbi Juma dk 33,
 Thomas Kipese dk. 82, 
Sanifu Lazaro dk. 89

Simba: Edward Chumila dk. 58.

*MEI 18, 1991*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk. 7.

*AGOSTI 31, 1991*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Said Sued Scud.

*OKTOBA 9, 1991*

Yanga 2 - 0 Simba

WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3,
 Abubakar Salum 'Sure Boy' dk54.

*NOVEMBA 13, 1991*

Yanga v Simba
(Simba waligomea mechi kipindi cha pili Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam, Yanga ikapewa ushindi wa 2-0)

*APRILI 12, 1992*

Yanga 1-0 Simba

MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.

*SEPTEMBA 26, 1992*

Simba 2 - 0 Yanga

(Wafungaji naomba nikumbushwe )

*OKTOBA 27, 1992*

Simba 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.

*MACHI 27, 1993*

Yanga 2 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57

Simba: Edward Chumila dk. 75.

*JULAI 17, 1993*

Simba 1 - 0  Yanga

MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.

*SEPTEMBA 26, 1993*

Simba 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.

*NOVEMBA 6, 1993*

Simba 0 - 0 Yanga

*FEBRUARI 26, 1994*

Yanga 2 - 0  Simba

MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.

*JULAI 2, 1994*

Simba 4 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: George Masatu,
 Athumani China,
 Madaraka Selemani, 
Dua Saidi

 Yanga; Constantine Kimanda.

*NOVEMBA 2, 1994*

Simba 1 - 0  Yanga

MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71

*NOVEMBA 21, 1994*

Simba 2 - 0 Yanga

WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18,
 Madaraka Selemani dk. 42.

*MACHI 18, 1995*

Simba 0 - 0 Yanga

*OKTOBA 4, 1995*

Simba 2 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, 
Mchunga Bakari dk. 79,

Yanga: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 40.

*FEBRUARI 25, 1996*

Yanga 2 - 0 Simba

(Wafungaji naomba nikumbushwe)

*SEPTEMBA 21, 1996*

Yanga 0 - 0  Simba

*OKTOBA 23, 1996*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46

*NOVEMBA 9, 1996*

Yanga 4 - 4 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, 
*Mustafa Hozza* alijifunga dk 64, 
Said Mwamba 'Kizota' dk. 70,
 Sanifu Lazaro dk. 75.

Simba: Thomas Kipese dk. 7,
 Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

*APRILI 26, 1997*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16

Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56

*AGOSTI 31, 1997*

Yanga 0 - 0 Simba

*OKTOBA 11, 1997*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52

Simba: George Masatu dk. 89

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)

*NOVEMBA 8, 1997*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma)




*FEBRUARI 21, 1998*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Akida Makunda dk. 46

Simba: Athumani Machepe dk. 88

*JUNI 7, 1998*

Yanga 1 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28

Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32

*MEI 1, 1999*

Yanga 3 - 1 Simba

WAFUNGAJI:
Yanga: Idd Moshi dk. 59,
 Kalimangonga Ongala dk. 64,
 Salvatory Edward dk. 70,

 Simba: Juma Amir dk. 12.

*AGOSTI 29, 1999*

Yanga 2 - 0 Simba

WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49, 
Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71

*JUNI 25, 2000*

Simba 2 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72

Yanga: Idd Moshi dk. 4.

*AGOSTI 5, 2000*

Yanga 2 - 0 Simba

MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)

*SEPTEMBA 1, 2001*

Simba 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76

*SEPTEMBA 30, 2001*

Simba 1 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Joseph Kaniki dk. 65,

Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)

*AGOSTI 18, 2002*

Simba 1 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Madaraka Selemani 65

Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89

*NOVEMBA 10, 2002*

Simba 0 - 0 Yanga

*SEPTEMBA 28, 2003*

Simba 2 - 2 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36

Yanga: Kudra Omary dk. 42,
Heri Morris dk. 55

*NOVEMBA 2, 2003*

Simba 0 - 0 Yanga

*AGOSTI 7, 2004*

Simba 2 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Shaaban Kisiga dk. 64,
 Ulimboka Mwakingwe dk. 76

Yanga: Pitchou Kongo dk. 48

*SEPTEMBA 18, 2004*

Simba 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82

*APRILI 17, 2005*

Simba 2 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
Simba: Nurdin Msiga dk. 44,
 Athumani Machupa dk. 64,

Yanga: Aaron Nyanda dk. 39

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

*AGOSTI 21, 2005*

Simba 2 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

*MACHI 26, 2006*

Simba 0 - 0 Yanga.

*OKTOBA 29, 2006*

Simba 0 - 0 Yanga

*JULAI 8, 2007*

Simba 1 - 1 Yanga  (dakika 120)

WAFUNGAJI:
Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)

Yanga: Said Maulid (dk. 55).

(Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

*OKTOBA 24, 2007*

Simba 1 - 0 Yanga

Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

*APRILI 27, 2008*

Simba 0 - 0 Yanga

*OKT 26, 2008*

Yanga 1 - 0 Simba

MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15.

(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

*APRILI 19, 2009*

Simba 2 - 2 Yanga

WAFUNGAJI:
SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23, 
Haruna Moshi dk 62

YANGA: Ben Mwalala dk48,
 Jerry Tegete dk90

(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

(Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)

*OKTOBA 31, 2009*

Simba 1 - 0 Yanga

MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26

(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

*APRILI 18, 2010*

Simba 4 - 3 Yanga

WAFUNGAJI:
SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3,
 Mussa Mgosi dk 53 na 74,
 Hillary Echesa dk 90+

YANGA: Athumani Iddi dk 30,
 Jerry Tegete dk 69 na 89

*OKTOBA 16, 2010*

Yanga 1 - 0  Simba

MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70

*MACHI 5, 2011*

Simba 1 - 1 Yanga

WAFUNGAJI:
YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59.

SIMBA: Mussa Mgosi dk 73.

(Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja)

*OKTOBA 29, 2011*

Yanga 1-0 Simba

MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75

*MEI 6, 2012*

Simba 5-0 Yanga SC

WAFUNGAJI:
Emmanuel Okwi (dk 2 na 62),
 Felix Sunzu (penalti 56), 
Juma Kaseja (penalti dk 67)
 na Patrick Mafisango (penalti dk 72)

(Ligi Kuu)

*OKTOBA 3, 2013*

Simba 1-1 Yanga SC

WAFUNGAJI:
Simba SC: Amri Kiemba dk3

Yanga SC: Said Bahanuzi dk65

(Ligi Kuu)

*MEI 18, 2013*

Yanga 2-0 Simba SC

WAFUNGAJI: Didier Kavumbangu dk 5 
Hamisi Kiiza dk 62.

*OKTOBA 20, 2013*

Yanga SC 3-3 Simba SC

WAFUNGAJI:
Yanga SC: Mrisho Ngassa dk15,
 Hamisi Kiiza dk36 na  45

Simba SC: Betram Mombeki dk54, 
Joseph Owino dk58 
 Gilbert Kaze dk85.

*APRILI 19, 2014*

Simba SC 1-1 Yanga SC

WAFUNGAJI:
Simba SC; Haroun Chanongo dk76

Yanga SC: Simon Msuva dk86

*OKTOBA 18, 2014*

Simba SC 0-0 Yanga SC

*MACHI 8, 2015*

Simba 1-0 Yanga SC

MFUNGAJI; Emmanuel Okwi dk55
 (sina uhakika na dakika naomba nirekebishwe)

*SEPTEMBA 26, 2015*

Yanga SC 2-0 Simba SC

WAFUNGAJI:
Yanga SC: Amissi Tambwe dk44
 Malimi Busungu dk79

*FEBRUARI 20, 2016*

Yanga SC 2-0 Simba SC

WAFUNGAJI:
Donald Ngoma dk39 
 Amissi Tambwe dk72

*OKTOBA 1, 2016*

Simba 1-1 Yanga

WAFUNGAJI:
Yanga: Amissi Tambwe dk26

Simba: Shiza Kichuya dk87

*FEBRUARI 26, 2017*

Simba 2-1 Yanga

WAFUNGAJI:
YANGA: Simon Msuva (penalti) dk5

SIMBA: Laudit Mavugo dk66
 Shiza Kichuya dk81