*JUNI 3, 1966*
Yanga 3 - 2 Sunderland (Simba)
WAFUNGAJI:
Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54,
Andrew Tematema dk 67,
Emmanuel Makaidi dk. 83.
Sunderland (Simba): Mustafa Choteka dk 24,
Haji Lesso dk. 86.
*NOVEMBA 26, 1966*
Sunderland 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.
*MACHI 30, 1968*
Yanga 1 - 0 Sunderland (Simba)
MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.
*JUNI 1, 1968*
Yanga 5 - 0 Sunderland
WAFUNGAJI:
Maulid Dilunga dk. 18 (penalti),
Dilunga dk. 43,
Salehe Zimbwe dk. 54,
Zimbwe dk. 89,
Kitwana Manara dk. 86.
*MACHI 3, 1969*
Yanga v Sunderland (simba)
(Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).
*JUNI 4, 1972*
Yanga 1 - 1 Sunderland (simba)
WAFUNGAJI:
Yanga: Kitwana Manara dk. 19,
Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.
*JUNI 18, 1972*
Yanga 1 - 1 Simba
MFUNGAJI: Leonard Chitete.
(Mwingine naomba mnikumbushe)
*JUNI 23, 1973*
Simba 1 - 0Yanga
MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.
*AGOSTI 10, 1974*
Yanga 2 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Gibson Sembuli dk. 87,
Sunday Manara dk. 97.
Simba: Adam Sabu dk. 16.
(Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).
*JULAI 19, 1977*
Simba 6 - 0 Yanga
WAFUNGAJI:
Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89,
Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73,
*Selemani Sanga* alijifunga dk. 20.
*OKTOBA 7, 1979*
Simba 3 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Nico Njohole dk. 3,
Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38,
Abbas Dilunga dk.72.
Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.
*OKTOBA 4, 1980*
Simba 3 - 0 Yanga
WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29,
Thuwein Ally dk. 82,
Nico Njohole dk. 83.
*SEPTEMBA 5, 1981*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42
*APRILI 29, 1982*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.
*SEPTEMBA 18, 1982*
Yanga 3 - 0 Simba
WAFUNGAJI:
Omar Hussein dk. 2 na 85,
Makumbi Juma dk. 62.
*FEBRUARI 10, 1983*
Yanga 0 - 0 Simba.
*APRILI 16, 1983*
Yanga 3 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Charles Mkwasa dk21,
Makumbi Juma dk38,
Omar Hussein dk84,
Simba; Kihwelo Mussa dk14.
*SEPTEMBA 10, 1983*
Yanga 2 - 0 Simba
WAFUNGAJI: *Lila Shomari* alijifunga dk. 72,
Ahmed Amasha dk. 89.
*SEPTEMBA 25, 1983*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Makumbi Juma dk. 75,
Simba: Sunday Juma dk. 72.
*MACHI 10, 1984*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Omar Hussein dk. 72.
Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.
*JULAI 14, 1984*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Abeid Mziba dk. 39.
Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17
*MEI 19, 1985*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Omar Hussein dk. 6
Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.
*AGOSTI 10, 1985*
Yanga v Simba
(Simba waligomea mechi Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam, Yanga ikapewa ushindi wa mabao 2-0)
*MACHI 15, 1986*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Abeid Mziba dk. 44
Simba: John Hassan Douglas dk. 20.
*AGOSTI 23, 1986*
Simba 2 - 2 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Edward Chumila dk. 9,
Malota Soma dk. 51
Yanga: Omar Hussein dk. 5.
(Mmoja nimemsahau mnikumbushe)
*JUNI 27, 1987*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.
*AGOSTI 15, 1987*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.
*APRILI 30, 1988*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Justin Mtekere dk. 28
Simba: Edward Chumila dk. 25.
*JULAI 23, 1988*
Simba 2 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Edward Chumila 21,
John Makelele dk. 58
Yanga: Issa Athumani dk. 36.
*JANUARI 28, 1989*
Yanga 2 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Issa Athumani dk. 4,
Abeid Mziba dk. 85
Simba: Malota Soma dk. 30.
*MEI 21, 1989*
Yanga 0 - 0 Simba
*MEI 26, 1990*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.
*OKTOBA 20, 1990*
Yanga 3 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Makumbi Juma dk 33,
Thomas Kipese dk. 82,
Sanifu Lazaro dk. 89
Simba: Edward Chumila dk. 58.
*MEI 18, 1991*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk. 7.
*AGOSTI 31, 1991*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Said Sued Scud.
*OKTOBA 9, 1991*
Yanga 2 - 0 Simba
WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3,
Abubakar Salum 'Sure Boy' dk54.
*NOVEMBA 13, 1991*
Yanga v Simba
(Simba waligomea mechi kipindi cha pili Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam, Yanga ikapewa ushindi wa 2-0)
*APRILI 12, 1992*
Yanga 1-0 Simba
MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.
*SEPTEMBA 26, 1992*
Simba 2 - 0 Yanga
(Wafungaji naomba nikumbushwe )
*OKTOBA 27, 1992*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.
*MACHI 27, 1993*
Yanga 2 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57
Simba: Edward Chumila dk. 75.
*JULAI 17, 1993*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.
*SEPTEMBA 26, 1993*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.
*NOVEMBA 6, 1993*
Simba 0 - 0 Yanga
*FEBRUARI 26, 1994*
Yanga 2 - 0 Simba
MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.
*JULAI 2, 1994*
Simba 4 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: George Masatu,
Athumani China,
Madaraka Selemani,
Dua Saidi
Yanga; Constantine Kimanda.
*NOVEMBA 2, 1994*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71
*NOVEMBA 21, 1994*
Simba 2 - 0 Yanga
WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18,
Madaraka Selemani dk. 42.
*MACHI 18, 1995*
Simba 0 - 0 Yanga
*OKTOBA 4, 1995*
Simba 2 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70,
Mchunga Bakari dk. 79,
Yanga: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 40.
*FEBRUARI 25, 1996*
Yanga 2 - 0 Simba
(Wafungaji naomba nikumbushwe)
*SEPTEMBA 21, 1996*
Yanga 0 - 0 Simba
*OKTOBA 23, 1996*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46
*NOVEMBA 9, 1996*
Yanga 4 - 4 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28,
*Mustafa Hozza* alijifunga dk 64,
Said Mwamba 'Kizota' dk. 70,
Sanifu Lazaro dk. 75.
Simba: Thomas Kipese dk. 7,
Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)
*APRILI 26, 1997*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16
Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56
*AGOSTI 31, 1997*
Yanga 0 - 0 Simba
*OKTOBA 11, 1997*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52
Simba: George Masatu dk. 89
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)
*NOVEMBA 8, 1997*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma)
*FEBRUARI 21, 1998*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Akida Makunda dk. 46
Simba: Athumani Machepe dk. 88
*JUNI 7, 1998*
Yanga 1 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28
Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32
*MEI 1, 1999*
Yanga 3 - 1 Simba
WAFUNGAJI:
Yanga: Idd Moshi dk. 59,
Kalimangonga Ongala dk. 64,
Salvatory Edward dk. 70,
Simba: Juma Amir dk. 12.
*AGOSTI 29, 1999*
Yanga 2 - 0 Simba
WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49,
Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71
*JUNI 25, 2000*
Simba 2 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72
Yanga: Idd Moshi dk. 4.
*AGOSTI 5, 2000*
Yanga 2 - 0 Simba
MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)
*SEPTEMBA 1, 2001*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76
*SEPTEMBA 30, 2001*
Simba 1 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Joseph Kaniki dk. 65,
Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)
*AGOSTI 18, 2002*
Simba 1 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Madaraka Selemani 65
Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89
*NOVEMBA 10, 2002*
Simba 0 - 0 Yanga
*SEPTEMBA 28, 2003*
Simba 2 - 2 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36
Yanga: Kudra Omary dk. 42,
Heri Morris dk. 55
*NOVEMBA 2, 2003*
Simba 0 - 0 Yanga
*AGOSTI 7, 2004*
Simba 2 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Shaaban Kisiga dk. 64,
Ulimboka Mwakingwe dk. 76
Yanga: Pitchou Kongo dk. 48
*SEPTEMBA 18, 2004*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82
*APRILI 17, 2005*
Simba 2 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
Simba: Nurdin Msiga dk. 44,
Athumani Machupa dk. 64,
Yanga: Aaron Nyanda dk. 39
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)
*AGOSTI 21, 2005*
Simba 2 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)
*MACHI 26, 2006*
Simba 0 - 0 Yanga.
*OKTOBA 29, 2006*
Simba 0 - 0 Yanga
*JULAI 8, 2007*
Simba 1 - 1 Yanga (dakika 120)
WAFUNGAJI:
Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)
Yanga: Said Maulid (dk. 55).
(Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)
*OKTOBA 24, 2007*
Simba 1 - 0 Yanga
Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe
(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)
*APRILI 27, 2008*
Simba 0 - 0 Yanga
*OKT 26, 2008*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15.
(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
*APRILI 19, 2009*
Simba 2 - 2 Yanga
WAFUNGAJI:
SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23,
Haruna Moshi dk 62
YANGA: Ben Mwalala dk48,
Jerry Tegete dk90
(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
(Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)
*OKTOBA 31, 2009*
Simba 1 - 0 Yanga
MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26
(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
*APRILI 18, 2010*
Simba 4 - 3 Yanga
WAFUNGAJI:
SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3,
Mussa Mgosi dk 53 na 74,
Hillary Echesa dk 90+
YANGA: Athumani Iddi dk 30,
Jerry Tegete dk 69 na 89
*OKTOBA 16, 2010*
Yanga 1 - 0 Simba
MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70
*MACHI 5, 2011*
Simba 1 - 1 Yanga
WAFUNGAJI:
YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59.
SIMBA: Mussa Mgosi dk 73.
(Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja)
*OKTOBA 29, 2011*
Yanga 1-0 Simba
MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75
*MEI 6, 2012*
Simba 5-0 Yanga SC
WAFUNGAJI:
Emmanuel Okwi (dk 2 na 62),
Felix Sunzu (penalti 56),
Juma Kaseja (penalti dk 67)
na Patrick Mafisango (penalti dk 72)
(Ligi Kuu)
*OKTOBA 3, 2013*
Simba 1-1 Yanga SC
WAFUNGAJI:
Simba SC: Amri Kiemba dk3
Yanga SC: Said Bahanuzi dk65
(Ligi Kuu)
*MEI 18, 2013*
Yanga 2-0 Simba SC
WAFUNGAJI: Didier Kavumbangu dk 5
Hamisi Kiiza dk 62.
*OKTOBA 20, 2013*
Yanga SC 3-3 Simba SC
WAFUNGAJI:
Yanga SC: Mrisho Ngassa dk15,
Hamisi Kiiza dk36 na 45
Simba SC: Betram Mombeki dk54,
Joseph Owino dk58
Gilbert Kaze dk85.
*APRILI 19, 2014*
Simba SC 1-1 Yanga SC
WAFUNGAJI:
Simba SC; Haroun Chanongo dk76
Yanga SC: Simon Msuva dk86
*OKTOBA 18, 2014*
Simba SC 0-0 Yanga SC
*MACHI 8, 2015*
Simba 1-0 Yanga SC
MFUNGAJI; Emmanuel Okwi dk55
(sina uhakika na dakika naomba nirekebishwe)
*SEPTEMBA 26, 2015*
Yanga SC 2-0 Simba SC
WAFUNGAJI:
Yanga SC: Amissi Tambwe dk44
Malimi Busungu dk79
*FEBRUARI 20, 2016*
Yanga SC 2-0 Simba SC
WAFUNGAJI:
Donald Ngoma dk39
Amissi Tambwe dk72
*OKTOBA 1, 2016*
Simba 1-1 Yanga
WAFUNGAJI:
Yanga: Amissi Tambwe dk26
Simba: Shiza Kichuya dk87
*FEBRUARI 26, 2017*
Simba 2-1 Yanga
WAFUNGAJI:
YANGA: Simon Msuva (penalti) dk5
SIMBA: Laudit Mavugo dk66
Shiza Kichuya dk81