Breaking News
Loading...
Sunday, 22 April 2018

Info Post

Zikiwa zimebaki dakika chache mechi kumalizika, Iddy Suleiman anawaliza watoto wa jangwani kwa kujitwisha kichwa na kuisawazishia Mbeya City dhdi ya Yanga SC na kufanya mechi kuisha sare ya 1-1 ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya.

Yanga SC sasa wanakuwa na Pointi 48, Pointi 11 nyuma ya vinara Simba SC wenye pointi 59 huku simba akibakiza michezo 5 na Yanga akibakiza michezo 7 ligi kuisha.

Tarehe 29 /04 wikiendi ijayo ni Kariakoo Derby ambapo vilabu vyote viwili vimetoka kudondosha pointi ugenini ( lipuli 1-1 Simba na Mbeya 1-1 Yanga )