Faridi Miraji
Bayern Munich watawakaribisha Real Madrid katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika dimba la Allianz Arena
Liverpool watakabiliana dhidi ya AS Roma katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Liverpool wataanzia nyumbani katika dimba la Anfield
Mechi za kwanza zitapigwa Aprili 24 na 25 na mechi za marudiano ni Mei 1 na 2.