Breaking News
Loading...
Sunday, 6 May 2018

Info Post



Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka ya Tanzania Bara Yanga SC wameanza vibaya hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kukubali kichapo cha 4-0 kutoka kwa USM Alger ya Algeria.

Yanga sc walisafiri kwenda Algeria bila ya wachezaji wake nyota takribani saba wakiwemo Ajibu , Shishimbi , Yondani.

Yanga sasa wamebaki na mechi 5 za kupata matokeo ili wapate nafasi ya kucheza robo fainali.