Breaking News
Loading...
Friday, 1 June 2018

Info Post


Juventus wamewasilisha ofa ya kuwapa Chelsea Gonzalo Higuain kuwa sehemu ya dili la wao kumpata Alvaro Morata kwa mujibu wa taarifa kutoka The Evening Standard.
.
.

Mabingwa hao wa Serie A wameanza kuhusishwa na Morata ambaye aliwahi kukipiga katika klabu hiyo ya Turin kati ya mwaka 2014 mpaka 2016 .
.
.

Ili kulainisha dili hilo Juventus wameamua kumuhisisha na Higuain katika dili la kutua Stamford Bridge.